Template:Appeal/default/sw: Difference between revisions

From Donate
Jump to navigation Jump to search
Content deleted Content added
Jsoby (talk | contribs)
m 1 revision: importing old Jimmy translations for languages that don't have the new one translated
imported>Muddyb Blast Producer
Updating and correcting some sentences.
Line 1: Line 1:
<!--
Mimi ninajitolea.


!! NOTE TO TRANSLATORS !!
Silipwi hata senti kwa kazi yangu katika Wikipedia, na wala si hao wahariri na watunzi wengine wanaojitolea kufanya kazi katika Wikipedia. Nilipoanzisha Wikipedia, ningeweza kuifanya iwe kampuni ya kujipatia faida kwa kuweka mabango ya matangazo ya biashara, lakini niliamua kufanya kitu tofauti.


This letter is a new translation request, but re-uses large parts of the first Jimmy Letter ("Jimmy Letter 001"), but in different order. If the first Jimmy Letter has been translated into your language, you can probably re-use much of it for this translation. Sorry about the confusion! :-)
Biashara ni nzuri. Kutangaza si uovu. Lakini hapa si mahala pake. Sio katika Wikipedia.


To see the translation of the first letter for your language, click "view" in the box for "Original source text" above, and there will be a link to it at the top.
Wikipedia ni kitu maalumu. Ni kama maktaba au hifadhi ya umma. Ni kama vile hekalu kwa ajili ya mawazo. Ni mahali ambapo wote tunaweza kwenda na kutafakari, kujifunza, kupeana maarifa yetu na wengine. Ni mradi wa kipekee wa kibinadamu, wa kwanza katika historia ya mwanadamu. Ni mradi wa kibinadamu unaoleta kamusi elezo huru kwa kila mtu katika dunia.


-->
Kila mtu mmoja.
Ombi kutoka kwa Jimmy Wales, mwanzilishaji wa wikipedia


Google ina mashine za seva milioni 1, Yahoo wana wafanyakazi 13,000. Sisi katika Wikipedia tuna seva 679 na wafanyakazi 95 pekee.
Iwapo kila mmoja anayesoma hii akangachangia $5, tungeweza kumaliza uchangishaji leo hii. Lakini si kila mtu anaweza au atachangia. Na kwa hilo ni sawa tu. Kila mwaka watu wanaoamua kutoa wanatosha. Tukifikia lengo, tunasimamisha kampeni hizi. Sisi ni shirika dogo, na nimefanya kazi kwa juhudi kwa zaidi ya miaka kadhaa ili kutuweka katika hali inayofaa. Tunatimiza mpango wetu, na kuacha yasiyofaa kwa wengine.


Wikipedia ni tovuti ya tano duniani kwa hesabu ya kutembelewa. Kila mwezi watu milioni 450 hutembelea tovuti yetu – wakiangalia mabilioni ya kurasa zetu.
Kutimiza mipango yetu bila kuweka matangazo, tunakuhitaji wewe. Ni wewe unayeweka ndoto hii hai. Ni wewe uliyeanzisha Wikipedia. Ni wewe unayeamini ya kwamba kuna haja ya kuwa na sehemu ya kutafakari na kujifunza kwa utulivu.


Si vibaya kufanya biashara au kuonyesha matangazo ya kibiashara – lakini hapa Wikipedia hatutaki kufanya hivyo.
Mwaka huu, tafakari kufanya mchango wa $5, $20, $50 au kiasi chochote unachoweza kuilinda na kuiendeleza Wikipedia.


Wikipedia ni mahali pa pekee kwenye intaneti. Ni mahali kama maktaba au bustani yaani mahali ambako roho ya mtu inaweza kutafakari, kujifunza na tunapoweza kushirikiana na watu wengine ujuzi na maarifa.
Ahsante,


Nilipoanzisha Wikipedia ingekuwa rahisi kuijenga kama biashara na tovuti inayozalisha pesa nyingi kwa njia ya kuonyesha matangazo ya kibiashara. Lakini sikutaka. Kwa hiyo tumejenga Wikipedia kwa pesa kidogo hasa kwa kujitolea na zawadi za wachangiaji. Usimamizi wa mitambo unaendeshwa na watu wachache sana. Ofisi ya Wikipedia haikuweza kunenepa – wanenepe wengine!
'''Jimmy Wales'''


Kama kila msomaji angetoa dola tano kila mwaka kwa matumzi yake ya Wikipedia tusingehitaji kuomba kitu. Lakini si wote wanaoweza au wanaotaka kujitolea kwa njia hii. Hata hivyo tumepata wasaidizi wa kutosha hadi sasa.
Mwanzilishi wa Wikipedia

Kwa sababu hii ninakuomba: usaidie na wewe mwaka huu. Ujitolee kwa dola 5, 10, 100 au jinsi unavyoweza.
Tuendelee kujenga Wikipedia.

Ahsante sana

'''Jimmy Wales''' <br/>
Mwanzilishaji wa Wikipedia

Revision as of 15:14, 22 November 2011

Ombi kutoka kwa Jimmy Wales, mwanzilishaji wa wikipedia

Google ina mashine za seva milioni 1, Yahoo wana wafanyakazi 13,000. Sisi katika Wikipedia tuna seva 679 na wafanyakazi 95 pekee.

Wikipedia ni tovuti ya tano duniani kwa hesabu ya kutembelewa. Kila mwezi watu milioni 450 hutembelea tovuti yetu – wakiangalia mabilioni ya kurasa zetu.

Si vibaya kufanya biashara au kuonyesha matangazo ya kibiashara – lakini hapa Wikipedia hatutaki kufanya hivyo.

Wikipedia ni mahali pa pekee kwenye intaneti. Ni mahali kama maktaba au bustani yaani mahali ambako roho ya mtu inaweza kutafakari, kujifunza na tunapoweza kushirikiana na watu wengine ujuzi na maarifa.

Nilipoanzisha Wikipedia ingekuwa rahisi kuijenga kama biashara na tovuti inayozalisha pesa nyingi kwa njia ya kuonyesha matangazo ya kibiashara. Lakini sikutaka. Kwa hiyo tumejenga Wikipedia kwa pesa kidogo hasa kwa kujitolea na zawadi za wachangiaji. Usimamizi wa mitambo unaendeshwa na watu wachache sana. Ofisi ya Wikipedia haikuweza kunenepa – wanenepe wengine!

Kama kila msomaji angetoa dola tano kila mwaka kwa matumzi yake ya Wikipedia tusingehitaji kuomba kitu. Lakini si wote wanaoweza au wanaotaka kujitolea kwa njia hii. Hata hivyo tumepata wasaidizi wa kutosha hadi sasa.

Kwa sababu hii ninakuomba: usaidie na wewe mwaka huu. Ujitolee kwa dola 5, 10, 100 au jinsi unavyoweza. Tuendelee kujenga Wikipedia.

Ahsante sana

Jimmy Wales
Mwanzilishaji wa Wikipedia